uthamani wa maisha yako ni kumwagika kwa damu ya YESU
Sunday, May 8, 2011
Baadhi ya watu waliompa Yesu maisha yao katika mkutano,wananyosha mikono yao juu kwa ishara ya kumweshimu Mungu...Biblia inasema ni furaha mwenye dhambi mmoja akitubu,nasisi tunaungana na mbingu kushangilia na kufurahi kwa kuokolewa kwa maisha yao..!Mungu awape neema ya kusimama.
Hakika mbele za Mungu wetu tuliserebuka katika ibada ndani ya kanisa Arusha ambapo TALITHA KUMI ministries ilikuwa ikihudumu.
Tuliserebuka kwelikweli mbele za Mungu katika Ibada Arusha.
Mtumishi wa Mungu Onjeni Njeni akihubiri katika Ibada iliyofanyika ndani ya kanisa la Jesus Healing Siwandeti Arusha,Mungu akubariki.
Mtumishi wa Mungu muimbaji Frank..akimsifu Mungu Arusha,Frank Mungu akubariki tumebarikiwa na huduma yako,kuja kwako Arusha si bure,Mungu atakutana na haja zako.Tunakupenda!Mungu akuinue katika utukufu mwingine.