Sunday, May 8, 2011



Mungu alimuokoa binti Zawadi (katikati) ambaye alifungwa katika ushirikina kwa muda mrefu akitumiwa kama ajent kuvunja makanisa na kuharibu kazi za Mungu lakini alikutana na Mungu katika mkutano huo mkubwa wa injili huko Arusha,sasa ameokoka na anamtumikia Mungu.Yuko na watumishi wa Mungu wahudumu wa TALITHA KUMI Mery(kulia) na Itika(kushoto) wakimtia moyo.

1 comment: