Baadhi ya watu waliompa Yesu maisha yao katika mkutano,wananyosha mikono yao juu kwa ishara ya kumweshimu Mungu...Biblia inasema ni furaha mwenye dhambi mmoja akitubu,nasisi tunaungana na mbingu kushangilia na kufurahi kwa kuokolewa kwa maisha yao..!Mungu awape neema ya kusimama.
No comments:
Post a Comment