uthamani wa maisha yako ni kumwagika kwa damu ya YESU
Sunday, May 8, 2011
Mchungaji kiongozi na mwenyeji wa kanisa la Jesus Healing Siwandet Arusha,mama Mery Shauri na mume wake Shauri,Mungu awabariki kwa kutupokea na kututunza vema kukiwa Arusha,tulijisikia nyumbani na tulibarikiwa pia.Tunawapenda.
No comments:
Post a Comment