Huduma hii ilipata mashiko zaidi mwaka 2010 katika Chuo Kikuu Cha Dodoma ambapo wanazuoni wengi walijiunga na huduma hii,na kuanza kumtumikia Mungu kwa kasi kubwa kwa kufanya huduma za mikutano ya nje,semina za ndani,ushuhudiaji wa nyumba kwa nyumba na mahubiri ya mitaani sehemu mbalimbali za nchi ya Tanzania na Mungu alionekana kitenda mambo makuu sana.
No comments:
Post a Comment