uthamani wa maisha yako ni kumwagika kwa damu ya YESU
Friday, April 1, 2011
MAONO YA TALITHA KUMI
TALITHA KUMI ina maono ya kufikisha Injili ya YESU kwa watu waliopo vijijini na mijini na kuwafungua waliofungwa na vifungo mbalimbali vya kiroho na kimwili {Isaya 61:1-2}
No comments:
Post a Comment