TALITHA KUMI MINISTRIES
uthamani wa maisha yako ni kumwagika kwa damu ya YESU
Friday, April 1, 2011
WAHUDUMU WA TALITHA KUMI
Mhudumu wa TALITHA KUMI anatakiwa awe na sifa zifuatazo:
Awe amempokea YESU KRISTO kama Bwana na Mwokozi wa maisha yake.
Awe tayari kujitoa kwa ajili ya YESU KRISTO na
si
Mwanadamu.
Awe amesajiliwa ndani ya TALITHA KUMI.
Awe tayari kufuata Katiba na taratibu za TALITHA KUMI
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment