Sunday, May 8, 2011
Mungu alimuokoa binti Zawadi (katikati) ambaye alifungwa katika ushirikina kwa muda mrefu akitumiwa kama ajent kuvunja makanisa na kuharibu kazi za Mungu lakini alikutana na Mungu katika mkutano huo mkubwa wa injili huko Arusha,sasa ameokoka na anamtumikia Mungu.Yuko na watumishi wa Mungu wahudumu wa TALITHA KUMI Mery(kulia) na Itika(kushoto) wakimtia moyo.
MATENDO MAKUU YA MUNGU ARUSHA
Mungu anaokoa hata wachawi,watumishi wa Mungu kutoka TALITHA KUMI wakichoma nguo za mchawi aliyeokoka...alizopewa na wachawi.
Subscribe to:
Posts (Atom)