Friday, April 1, 2011

MAANA YA TALITHA KUMI

     Ni huduma ya uamsho na urejesho wa vijana na watu wote.TALITHA KUMI ni neno la Kiebrania lenye maana ya KIJANA INUKA{Marko 5:41} ambalo lilitumiwa na YESU akionyesha wakati wa uamsho na ufufuo juu ya kanisa lake kama alivyoahidi katika kitabu cha Amosi 9:11,siku hiyo nitaiinua tene masikani ya Daudi iliyoanguka na kuziba kuziba mahali palipo bomoka,nami nitayainua magofu yake na kuyajenga kama siku za kale.

No comments:

Post a Comment