TALITHA KUMI inafanya huduma kupitia njia mbalimbali kam vile:
- Semina za neno la Mungu ndani na nje ya kanisa.
- Mikutano ya Injili
- Warsha mbalimbali
- Mahubiri ya mitaani.
- Mahubiri ya nyumba kwa nyumba.
- Kutoa ushauri na kufanya maombezi kwa watu wenye mahitaji mbalimbali
No comments:
Post a Comment