Friday, April 1, 2011

NAMNA TALITHA KUMI INAVYOFANYA HUDUMA

TALITHA KUMI inafanya huduma kupitia njia mbalimbali kam vile:
  • Semina za neno la Mungu ndani na nje ya kanisa.
  • Mikutano ya Injili
  • Warsha mbalimbali
  • Mahubiri ya mitaani.
  • Mahubiri ya nyumba kwa nyumba.
  • Kutoa ushauri na kufanya maombezi kwa watu wenye mahitaji mbalimbali

    No comments:

    Post a Comment