
Mtumishi wa Mungu Furaha Willy akihubiri injili ya YESU KRISTO aliye hai siku ya kwanza ya mkutano.

Umati wa watu wakinyosha mikono yao juu kwa ishara ya kukabidhi maisha yao kwa YESU.

Mungu aliokoa watu mbalimbali katika mkutano na hawa ni baadhi ya watu walioamua kumpa YESU KRISTO maisha yao.Kwani neno la Mungu linasema YESU ndiye njia ya kweli na uzima, na mtu haji kwa baba pasipo njia ya YESU.yOH 14:6

Watumishi wa Mungu wakisikiliza mahitaji ya watu na kuwaombea.

Watumishi wa Mungu wakifanya maombezi kwa watu wenye shida na mahitaji mbalimbali.

Baadhi ya watu wakimsifu Mungu akiongozwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili Past.Beni

Makutano wakimwabudu Mungu aliye hai..

Wtumishi wa MUNGU wanaTALITHA KUMI wakiwa jukwaani wanamsifu Mungu wakiongozwa na Joshua Silomba(katikati).

Baadhi ya viongozi wa TALITHA KUMI wakiwa katika mkutano.

Baadhi ya watu waliohudhuria mkutano wakifuatilia kwa makini mahubiri.

Wapigaji wa muziki na mafundi mkitambo katika mkutano.

Baadhi ya watumishi wa Mungu wakliokuwa wakihudumu katika mkutano Arusha wakiwa katika jukwaa.

Mtumishi wa Mungu Deogratius Njeni akiomba kwa ajili ya mtumishi wa Mungu,

Mtumishi wa MUNGU Onjeni Njeni akihubiri wakati wa mkutano wa TALITHA KUMI huko ARUSHA
No comments:
Post a Comment