uthamani wa maisha yako ni kumwagika kwa damu ya YESU
Monday, April 4, 2011
MKUTANO MKUBWA ULIOFANYIKA ARUSHA TAR 6/3-13/3,2011
Mkutano huo uliofanyika Arusha kijiji cha Siwandeti wilaya ya Arumeru,ulihudhuriwa na watu wengi ambapo pia mungu alifanya mambo makuu, aliponya, aliokoa na mengine mengi Mungu wetu aliye hai alifanya.
No comments:
Post a Comment