Monday, April 4, 2011

MKUTANO MKUBWA ULIOFANYIKA ARUSHA TAR 6/3-13/3,2011

Mkutano huo uliofanyika Arusha kijiji cha Siwandeti wilaya ya Arumeru,ulihudhuriwa na watu wengi ambapo pia mungu alifanya mambo makuu, aliponya, aliokoa na mengine mengi Mungu wetu aliye hai alifanya.

No comments:

Post a Comment