- Kutimiza neno la kinabii katika mpango wa YESU KRISTO wa kulijia na kulirejeza kanisa lake.
- Kuleta uamsho wa kanisa ulimwenguni kote kwa maana wakati wa Bwana na jeshi lake umetimia katika hatua katika hatua za mwisho za unyakuo wa kanisa .(Yoeli 1:15)
2.Kuinua vipawa vya Kimungu kati ya vijana kwa matabaka yote
3. Kukutana na jamii za watu mbalimbali wenye mahitaji maalum kama wagonjwa,walemavu,waathirika
wa UKIMWI na madawa ya kulevya.
No comments:
Post a Comment